Tuesday, July 10, 2012

Olympic athletes' unusual recovery technique

MDAKOO.....ULISHAWAHI KUCHEZA


Walinikumbusha sana enzi zangu...lakini watoto wa mijini wengi wao hawachezi huu mchezo wao ni game tuu  za kwenye computer....hawa wapo kijiji cha Gumba Kisarawe....nilikuwa nao jumamosi siku ya saba saba




Hili Box ndo walikuwa wanaandika matokeo yao, yaani hata nilikuwa sioni namba ila wao wanaona na hawadhulumiani

Huyo mtoto wakiume aliibuka kidedea kwa kumshinda mdogo wake huyo wa kike kwa magoli 9 kwa 5

FANYA HIVI SHAMBANI KWAKO ILI KUYALINDA MAZAO YAKO YASIISHE

 Wakulima huwa ni wajanja sana na kila walimapo mpunga au mtama au ufuta nk. maranyingi wanafunga nguo kama hivi
 Ndege akiona hivi anajua binadamu yupo
 Hataweza kusogea eneo hilo anajua mwenye mali yupo
 Ona kama mtu vile
 Jamaa kasimama hadu kaptula inamshuka...ulinzi shirikishi
Mpunga wako utauvuna ukiwa haujaliwa sana na ndege

LOOK OF THE DAY



Parents find python wrapped around baby's foot

Monday, July 9, 2012

BODA BODA NA UJUMBE WA LEO


USHER'S STEPSON DECLARED BRAIN DEAD BY DOCTORS

Usher's 11-year-old stepson has been declared brain dead by doctors following the accident yesterday when he was struck by a jet ski ... TMZ has learned. 

According to our sources, Kyle Glover (son of Usher's estranged wife Tameka Foster) has not experienced any brain activity since he was admitted to the hospital. We're told there has been no decision yet as to whether or not to take him off life support. 

Our sources say Usher arrived at the hospital last night and Tameka has not left the hospital since she got there. 

As TMZ first reported, Kyle was struck in the head by passing jet ski while riding on an inner tube on Lake Lanier in Atlanta, GA.

MWISHO WA KUTUMIA SIMU FEKI UMEWADIA - KENYA

Map of Kenya
Kwa Wakenya wote....Tarehe 30 mwezi wa 9 mwaka 2012 simu zao KAMA NI FEKI zitafungwa na Shirika la Mawasiliano la Kenya

Je! kama utaratibu huu ukija Bongo wangapi tutabaki na simu? Wenzetu wanapinga vikali uingizwaji wa vitu bandia nchini mwao.

Sie tupo tu tunachakachua hadi mafuta kwenye gari ya Rais. Hatari kabisa

LOCALS VOW REVENGE FOR AFGHAN WOMAN'S EXECUTION




CHARIKAR, Afghanistan (Reuters) - Sayed Jalal furrowed his eyebrows in anger as he vowed to avenge the public execution of a woman in front of a large crowd not far from Kabul, brazen violence that spurred shock and sharp condemnation from Afghan authorities and the United States.
The Taliban denied involvement in the killing in Parwan province, in which an unnamed woman's head and body were riddled with bullets at close range in punishment for alleged adultery.
Authorities in Kabul directly blamed the Islamist group.

Sunday, July 8, 2012

GUMBA VILLAGE @KISARAWE DISTRICT - COAST REGION

 Nyumba ya mwalimu wa Gumba...nimeipenda
 Nyuma ya Bango ndo Garden yenyewe...duh
Bibi akiwa na Wali ndo wametoka siku chache zilizopita...ni mtu na dada yake...Bibi yeye anasema enzi zake alikaa mwaka mzima ndani akitawa ndo akaletewa Mchumba akolewa...alikuwa ni miongoni mwa wake wanne wa mumewe....ila hakuwahi kubahatika kupata mtoto.....wote hao ni Wazaramo...bibi akasema kuwa kipindi chao unaweza ukawekwa Mwali hata miaka 7 hadi upate mume, tofauti na siku hizi
Watoto wakicheza
 Mama akifanya mambo jikoni
Msosi Time

 Machenza...matamu hayoo
 Nikajitahidi kuchuma baadhi ya kula hapo hapo shambani kabla Babu hajanipa ya kubeba