Twiga kibaoooooo
 Hapa ni kupanda juu kabisa ya mlima, kuna jiwe kubwaaaaaaaaa, inabidi nako pakafanyiwe upimaji, ni kupanda kwa kutambaa
Hatimae wakafika juuu 
 Mbuga nzuri sanaaaa
Mimi kutambaa kwenye jiwe kubwa pale juu walinizuia, ikabidi nibaki huko juu ya jiwe lingine mlimani niwasubiri watoke kwenye lile jiwe lililo juu zaidi ndo tushuke wote chini 
 Tukicheki maeneo ya Mbuga
 Pundamilia wengiiiiiiii
 Tupende kutembelea Mbuga zetu
 

 
 









This is so inspiring! I would love to go on a safari one day :)
ReplyDeleteMally
xox
Ester kwa kweli ni kweli kunapendeza na ni kweli tuwe tunatembelea mbuga zetu tusiwaache wageni tu wafaidi. Ahsante kwa kutushirikisha.
ReplyDeleteMally ur welcome
ReplyDeleteYasinta asante san, usemalo ni sahihi kabisa