Pages

Monday, July 23, 2012

AJALI






Mtu unapata ajali kama hii afu unakimbia tena mfanyakazi…hapo boss aamini nini sasa?Ulikuwa umelewa?Uzembe?Makusudi au bahati mbaya? Hii ilitokea weekend bara bara ya Sumbawanga

No comments:

Post a Comment